Jeremiah 31:2-3

2 aHili ndilo asemalo Bwana: “Watu watakaopona upanga
watapata upendeleo jangwani;
nitakuja niwape Israeli pumziko.”

3 b Bwana alitutokea wakati uliopita, akisema: “Nimekupenda kwa upendo wa milele,
nimekuvuta kwa wema.
Copyright information for SwhKC